RABBIT KAKA SUNGURA - BANGAIZA LYRICS

@Rabbittheking
Song: Bangaiza 
Artist: Rabbit - Kaka Sungura
Album: Orutu Ya Masudi
Produced by: G-ganji

Intro:
Ajab aha yaeh Kaka Sungura (Bangaiza, Bangaiza!)
G-ganji, Sniper, Dice.....

Chorus.
Nimehustle tangu ngware hadi, jioni ikafika/
kuna wale wamenibamba wengine wamenikasirisha/
sahii ni time ya kubanga wee ee Bangaiza
banga wee ee Bangaiza
nimetembea tangu ngware hadi, kiatu ikaisha/
akili nayo imechoka juu, hesabu nimepiga/
sahii ni time ya kubanga wee ee Bangaiza/
banga wee ee Bangaiza

Verse 1
hii kusaka pesa daily naskia nikaa nimechoka/
lakini siwezi wacha juu pesa nayo haiwezi tosha/
nataka kutoka hiyo maisha ya daily, ugali na mboga(leo na Toast!)
kwa madem wote wanajitegemea/
wang'ara ka ni hepi wanajiekea drink kwa meza (leo na Toast!)
kwa machali wote wanajua vile kunaenda/
kama ndoa haikua inashika basi divorce na shida/
siunajua siri ni bidii halafu ni kubangaiza/

Chorus

verse 2
kaa wewe ubangaiza kwa bar, wengine mamovie kwa keja/
wengine kwa mpango wa kando, sahizo simu ni mteja/
haitaumiza ukismile, hakuna uchungu kwa furaha,
waiter leta jaza meza ukimaliza pia we kaa hapa/
ulimaliza job saa kumi na bado mdosi anakusumbua/
haujaona vile wee ni mzuri na bado chali yako anakusumbua/
sahii huyu ni nani amemwagiwa pombe?
anakaa nikama amebatizwa
leo ni bash yake? silewi sivuti labda kubangaiza!

Chorus

Bridge
siku hizi*3 nabangaiza tena sana
siku hizi*3 nina bidii sana sana
siku hizi*3 nabangaiza tena sana
siku hizi*3 nina bidii sana sana

Chorus






Popular posts from this blog

MAISHA NA MIKALO YA CHARLES MUSYOKI KIKUMBI - KIJANA (KIMANGU BOYS BAND)

JULIANI - EXPONENTIAL POTENTIAL LYRICS

King Kaka (Kennedy Ombima) - Wajinga Nyinyi lyrics